Ayubu 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+ Zaburi 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wamefungua vinywa vyao dhidi yangu,+Kama simba anayerarua vipande-vipande na kunguruma.+ Maombolezo 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+
10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+
16 Adui zako wote wamefungua vinywa vyao juu yako.+Wamepiga mluzi wa mshangao na kuendelea kusaga meno.+ Wamesema: “Tutammeza.+Kweli hii ndiyo siku ambayo tumeitumaini.+ Tumepata! Tumeona!”+