Zaburi 119:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Nimezifikiria njia zangu,+Ili nipate kuirudisha miguu yangu kwenye vikumbusho vyako.+ Ezekieli 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Anapoona+ na kugeuka na kuyaacha makosa yake yote ambayo ametenda,+ hakika yeye ataendelea kuishi. Hatakufa.+ Hagai 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na sasa, hivi ndivyo Yehova wa majeshi amesema, ‘Wekeni moyo wenu juu ya njia zenu.+
28 Anapoona+ na kugeuka na kuyaacha makosa yake yote ambayo ametenda,+ hakika yeye ataendelea kuishi. Hatakufa.+