30 Na ikatukia kwamba kila mtu aliyeona jambo hilo akasema: “Jambo kama hili halijawahi kutokea kamwe wala kuonekana tangu siku wana wa Israeli walipopanda kutoka nchi ya Misri mpaka leo. Wekeni jambo hili mioyoni mwenu, fanyeni shauri+ na mseme.”
2 Ikiwa hamtasikiliza,+ na ikiwa hamtaiweka moyoni+ ili kulipa jina langu utukufu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “mimi pia nitaleta juu yenu laana,+ nami nitazilaani baraka zenu.+ Ndiyo, hata nimeilaani baraka, kwa sababu hamwitii moyoni.”