Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 19:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Na ikatukia kwamba kila mtu aliyeona jambo hilo akasema: “Jambo kama hili halijawahi kutokea kamwe wala kuonekana tangu siku wana wa Israeli walipopanda kutoka nchi ya Misri mpaka leo. Wekeni jambo hili mioyoni mwenu, fanyeni shauri+ na mseme.”

  • Zaburi 119:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  59 Nimezifikiria njia zangu,+

      Ili nipate kuirudisha miguu yangu kwenye vikumbusho vyako.+

  • Maombolezo 3:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Na tutafute njia zetu na kuzichunguza,+ nasi turudi kabisa kwa Yehova.+

  • Malaki 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ikiwa hamtasikiliza,+ na ikiwa hamtaiweka moyoni+ ili kulipa jina langu utukufu,”+ Yehova wa majeshi amesema, “mimi pia nitaleta juu yenu laana,+ nami nitazilaani baraka zenu.+ Ndiyo, hata nimeilaani baraka, kwa sababu hamwitii moyoni.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki