Waamuzi 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Wote walioona jambo hilo wakasema, “Jambo kama hili halijawahi kutokea kamwe wala kuonekana tangu Waisraeli walipotoka Misri mpaka leo. Fikirieni jambo hili,* mshauriane,+ kisha mtuambie tutakalofanya.”
30 Wote walioona jambo hilo wakasema, “Jambo kama hili halijawahi kutokea kamwe wala kuonekana tangu Waisraeli walipotoka Misri mpaka leo. Fikirieni jambo hili,* mshauriane,+ kisha mtuambie tutakalofanya.”