Waamuzi 19:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na ikatukia kwamba kila mtu aliyeona jambo hilo akasema: “Jambo kama hili halijawahi kutokea kamwe wala kuonekana tangu siku wana wa Israeli walipopanda kutoka nchi ya Misri mpaka leo. Wekeni jambo hili mioyoni mwenu, fanyeni shauri+ na mseme.”
30 Na ikatukia kwamba kila mtu aliyeona jambo hilo akasema: “Jambo kama hili halijawahi kutokea kamwe wala kuonekana tangu siku wana wa Israeli walipopanda kutoka nchi ya Misri mpaka leo. Wekeni jambo hili mioyoni mwenu, fanyeni shauri+ na mseme.”