Ayubu 30:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Na sasa wamenicheka,+Wale wenye siku chache kuliko mimi,+Ambao baba zao ningekataaKuwaweka pamoja na mbwa wa kundi langu. Zaburi 44:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Unatuweka kuwa shutuma kwa jirani zetu,+Kuwa dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+ Yeremia 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Umenipumbaza, Ee Yehova, hivi kwamba nikapumbazika. Ulizitumia nguvu zako kunipinga mimi, hivi kwamba ukashinda.+ Nikawa chombo cha kuchekwa mchana kutwa; kila mtu ananidharau.+
30 “Na sasa wamenicheka,+Wale wenye siku chache kuliko mimi,+Ambao baba zao ningekataaKuwaweka pamoja na mbwa wa kundi langu.
13 Unatuweka kuwa shutuma kwa jirani zetu,+Kuwa dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka pande zote.+
7 Umenipumbaza, Ee Yehova, hivi kwamba nikapumbazika. Ulizitumia nguvu zako kunipinga mimi, hivi kwamba ukashinda.+ Nikawa chombo cha kuchekwa mchana kutwa; kila mtu ananidharau.+