Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 12:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Ninakuwa mtu wa kudhihakiwa na wenzake,+

      Mtu anayemwita Mungu ili amjibu.+

      Mtu mwadilifu, asiye na lawama, amekuwa wa kudhihakiwa.

  • Zaburi 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+

      Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+

  • Yeremia 15:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ole wangu,+ Ee mama yangu, kwa sababu umenizaa mimi, mtu wa ugomvi na mtu wa kuzozana na dunia yote.+ Sikutoa mkopo, nao hawakunipa mkopo. Wote wananilaani.+

  • Maombolezo 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nimekuwa kitu cha kuchekwa+ na watu wote wanaonipinga, nimekuwa kichwa cha wimbo wao mchana kutwa.+

  • Matendo 17:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Basi, waliposikia juu ya ufufuo wa wafu, wengine kati yao wakaanza kudhihaki,+ huku wengine wakisema: “Tutakusikiliza tena juu ya jambo hili wakati mwingine.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki