10 Ole wangu,+ Ee mama yangu, kwa sababu umenizaa mimi, mtu wa ugomvi na mtu wa kuzozana na dunia yote.+ Sikutoa mkopo, nao hawakunipa mkopo. Wote wananilaani.+
32 Basi, waliposikia juu ya ufufuo wa wafu, wengine kati yao wakaanza kudhihaki,+ huku wengine wakisema: “Tutakusikiliza tena juu ya jambo hili wakati mwingine.”