Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wamefungua vinywa vyao wazi juu yangu,+

      Wamenipiga mashavu yangu kwa shutuma,

      Wanakusanyika juu yangu wakiwa hesabu kubwa.+

  • Ayubu 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hakika ninafanyiwa mzaha,+

      Na jicho langu linakaa katikati ya tabia yao ya uasi.

  • Ayubu 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Na sasa wamenicheka,+

      Wale wenye siku chache kuliko mimi,+

      Ambao baba zao ningekataa

      Kuwaweka pamoja na mbwa wa kundi langu.

  • Zaburi 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wale wote wanaoniona mimi, hunidharau;+

      Wanaendelea kufungua vinywa vyao wazi, wanaendelea kutikisa vichwa vyao:+

  • Waebrania 11:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa dhihaka na mapigo kwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa vifungo+ na magereza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki