Zaburi 35:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+ Waebrania 11:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa dhihaka na mapigo kwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa vifungo+ na magereza.+
16 Kati ya wenye dhihaka, walioasi imani, kwa ajili ya keki,+Kulikuwako kusaga meno yao dhidi yangu.+
36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa dhihaka na mapigo kwa mijeledi, kwa kweli, zaidi ya hayo, kwa vifungo+ na magereza.+