Ayubu 30:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na sasa mimi nimekuwa hata kichwa cha wimbo wao,+Nami ni simango kwao.+ Zaburi 69:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wale wanaoketi kwenye lango wakaanza kujishughulisha nami,+Nikawa kiini cha nyimbo za watu wanaokunywa kileo.+ Zaburi 137:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana huko, wale waliokuwa wametushika mateka, walituomba maneno ya wimbo,+Nao wale wanaotufanyia mzaha—wimbo wa kushangilia:+“Tuimbieni mmoja wa nyimbo za Sayuni.”+
12 Wale wanaoketi kwenye lango wakaanza kujishughulisha nami,+Nikawa kiini cha nyimbo za watu wanaokunywa kileo.+
3 Kwa maana huko, wale waliokuwa wametushika mateka, walituomba maneno ya wimbo,+Nao wale wanaotufanyia mzaha—wimbo wa kushangilia:+“Tuimbieni mmoja wa nyimbo za Sayuni.”+