Zaburi 69:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana Yehova anawasikiliza maskini,+Wala kwa kweli hatawadharau wafungwa wake mwenyewe.+ Zaburi 79:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kuugua kwa mfungwa na kuingie mbele zako.+Kulingana na ukuu wa mkono wako, uwahifadhi wale waliochaguliwa kwa ajili ya kifo.+ Zaburi 102:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ili kusikia kuugua kwa mfungwa,+Ili kuwafungua wale waliowekwa kwa ajili ya kifo;+
11 Kuugua kwa mfungwa na kuingie mbele zako.+Kulingana na ukuu wa mkono wako, uwahifadhi wale waliochaguliwa kwa ajili ya kifo.+