Isaya 51:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Hayo mambo mawili yalikuwa yakikuangukia.+ Ni nani atakayekusikitikia?+ Uporaji na mvunjiko, na njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji wewe?+ Yeremia 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Inueni ishara kuelekea Sayuni. Andaeni mahali pa kukimbilia usalama. Msisimame tuli.” Kwa maana kuna msiba ambao ninaleta kutoka kaskazini,+ mshindo mkubwa. Maombolezo 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+
19 Hayo mambo mawili yalikuwa yakikuangukia.+ Ni nani atakayekusikitikia?+ Uporaji na mvunjiko, na njaa na upanga!+ Ni nani atakayekufariji wewe?+
6 Inueni ishara kuelekea Sayuni. Andaeni mahali pa kukimbilia usalama. Msisimame tuli.” Kwa maana kuna msiba ambao ninaleta kutoka kaskazini,+ mshindo mkubwa.
13 Nitakutumia kama shahidi juu ya nini? Nitakufananisha na nini, Ee binti Yerusalemu?+Nitakulinganisha na nini, ili nikufariji, Ee binti Sayuni uliye bikira?+Kwa maana mvunjiko+ wako ni mkubwa kama bahari. Ni nani anayeweza kukuponya?+