Kumbukumbu la Torati 28:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Nawe utakuwa kitu cha kushangaza,+ neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu ambao Yehova atakuongoza kwao. Yeremia 6:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakika watu watawaita fedha iliyokataliwa,+ kwa maana Yehova amewakataa.”+
37 Nawe utakuwa kitu cha kushangaza,+ neno la kimethali+ na shutuma kati ya vikundi vyote vya watu ambao Yehova atakuongoza kwao.