-
‘Nafsi Yako Itainama Juu Yangu’Mnara wa Mlinzi—2012 | Juni 1
-
-
Acheni tuchunguze maneno ya nabii Yeremia yanayopatikana katika andiko la Maombolezo 3:20, 21.—Soma.
-
-
‘Nafsi Yako Itainama Juu Yangu’Mnara wa Mlinzi—2012 | Juni 1
-
-
Kwa sababu ya kuimarishwa na tumaini hilo, Yeremia anapata faraja ya kweli kwa moyo wake uliokuwa umehuzunika. Nabii huyo mwaminifu ameazimia kungoja kwa subira hadi wakati unaofaa wa Yehova atakapowakomboa watu Wake wanaotubu.—Mstari wa 21.
-