8 Urekebishwe,+ Ee Yerusalemu, ili nafsi yangu isije ikaondoka kwako ikiwa imechukizwa;+ ili nisije nikakuweka uwe mahame yenye ukiwa, nchi isiyokaliwa.”+
43 Na hakika mashamba yatanunuliwa katika nchi hii+ ambayo ninyi mtakuwa mkisema: “Hiyo ni mahame yenye ukiwa+ yasiyo na mwanadamu wala mnyama wa kufugwa. Imetiwa mkononi mwa Wakaldayo.”’+