Ayubu 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo, basi, liko wapi tumaini langu?+Na tumaini langu—ni nani anayeliona? Zaburi 31:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mimi nilisema hivi niliposhikwa na wasiwasi:+“Hakika nitaangamizwa kutoka mbele za macho yako.”+Bila shaka umeisikia sauti ya kusihi kwangu nilipokulilia unisaidie.+
22 Mimi nilisema hivi niliposhikwa na wasiwasi:+“Hakika nitaangamizwa kutoka mbele za macho yako.”+Bila shaka umeisikia sauti ya kusihi kwangu nilipokulilia unisaidie.+