Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 69:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Njoo karibu na nafsi yangu, uiokoe;+

      Kwa sababu ya adui zangu, unikomboe.+

  • Zaburi 145:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova yuko karibu na wote wanaomwitia,+

      Wote wanaomwitia yeye katika ukweli.+

  • Isaya 58:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kama ingekuwa hivyo wewe ungeita, na Yehova mwenyewe angejibu;+ ungelilia msaada, naye angesema, ‘Mimi hapa!’

      “Ukiondoa katikati yako nira,+ kunyoosha kidole+ na kusema mambo yenye madhara;+

  • Yakobo 4:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.+ Safisheni mikono yenu, ninyi watenda-dhambi,+ na takaseni mioyo yenu,+ ninyi wenye kusitasita.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki