Ayubu 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana mishale ya Mweza-Yote iko nami,+Ambayo roho yangu inainywa sumu yake;+Vitisho kutoka kwa Mungu vinajipanga juu yangu.+ Ayubu 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ikiwa nimetenda dhambi, ni nini ninaloweza kutimiza kukupinga wewe, Ee Mtazamaji wa wanadamu?+Kwa nini umeniweka kuwa shabaha yako, hivi kwamba niwe mzigo kwako? Ayubu 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nilikuwa nimestarehe, lakini akanitikisa;+Akanikamata nyuma ya shingo, akanivunja-vunja,Naye ananiweka kuwa shabaha kwa ajili yake mwenyewe. Zaburi 38:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana mishale yako imepenya sana ndani yangu,+Nao mkono wako umeshuka juu yangu.+
4 Kwa maana mishale ya Mweza-Yote iko nami,+Ambayo roho yangu inainywa sumu yake;+Vitisho kutoka kwa Mungu vinajipanga juu yangu.+
20 Ikiwa nimetenda dhambi, ni nini ninaloweza kutimiza kukupinga wewe, Ee Mtazamaji wa wanadamu?+Kwa nini umeniweka kuwa shabaha yako, hivi kwamba niwe mzigo kwako?
12 Nilikuwa nimestarehe, lakini akanitikisa;+Akanikamata nyuma ya shingo, akanivunja-vunja,Naye ananiweka kuwa shabaha kwa ajili yake mwenyewe.