Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana mishale ya Mweza-Yote iko nami,+

      Ambayo roho yangu inainywa sumu yake;+

      Vitisho kutoka kwa Mungu vinajipanga juu yangu.+

  • Ayubu 7:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ikiwa nimetenda dhambi, ni nini ninaloweza kutimiza kukupinga wewe, Ee Mtazamaji wa wanadamu?+

      Kwa nini umeniweka kuwa shabaha yako, hivi kwamba niwe mzigo kwako?

  • Ayubu 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nilikuwa nimestarehe, lakini akanitikisa;+

      Akanikamata nyuma ya shingo, akanivunja-vunja,

      Naye ananiweka kuwa shabaha kwa ajili yake mwenyewe.

  • Zaburi 38:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana mishale yako imepenya sana ndani yangu,+

      Nao mkono wako umeshuka juu yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki