Zaburi 80:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ee Mungu wa majeshi, urudi, tafadhali;+Utazame chini kutoka mbinguni, uone na kuutunza mzabibu huu,+ Zaburi 102:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana yeye ametazama chini kutoka katika kilele chake kitakatifu,+Kutoka katika mbingu Yehova ametazama chini, naam, kwenye dunia,+ Isaya 63:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+
14 Ee Mungu wa majeshi, urudi, tafadhali;+Utazame chini kutoka mbinguni, uone na kuutunza mzabibu huu,+
19 Kwa maana yeye ametazama chini kutoka katika kilele chake kitakatifu,+Kutoka katika mbingu Yehova ametazama chini, naam, kwenye dunia,+ Isaya 63:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+
15 Tazama kutoka mbinguni,+ uone kutoka katika makao yako yaliyoinuliwa ya utakatifu na uzuri.+ Iko wapi bidii+ yako na nguvu zako kamili, msukosuko wa sehemu zako za ndani,+ na rehema+ zako? Zimejizuia kunielekea.+