15 Utazame chini kutoka katika makao yako matakatifu,+ mbinguni, na kuwabariki watu wako Israeli+ na udongo ambao umetupa sisi, kama vile ulivyowaapia mababu zetu,+ nchi inayotiririka maziwa na asali.’+
9 Kwa maana, kwa habari ya Yehova, macho+ yake yanaenda huku na huku duniani+ kote ili aonyeshe nguvu zake kwa ajili ya wale ambao moyo+ wao ni mkamilifu kumwelekea yeye. Umetenda kwa upumbavu+ kwa habari hii, kwa maana tangu sasa na kuendelea kutakuwa na vita juu yako.”+