Kutoka 23:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Nanyi mtamtumikia Yehova Mungu wenu,+ naye hakika ataubariki mkate wako na maji yako;+ nami kwa kweli nitageuzia mbali ugonjwa kutoka katikati yako.+ Zaburi 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Uwaokoe watu wako, na kuubariki urithi wako;+Na uwachunge na kuwabeba mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 115:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yehova mwenyewe ametukumbuka; atatoa baraka,+Ataibariki nyumba ya Israeli,+Ataibariki nyumba ya Haruni.+
25 Nanyi mtamtumikia Yehova Mungu wenu,+ naye hakika ataubariki mkate wako na maji yako;+ nami kwa kweli nitageuzia mbali ugonjwa kutoka katikati yako.+
9 Uwaokoe watu wako, na kuubariki urithi wako;+Na uwachunge na kuwabeba mpaka wakati usio na kipimo.+
12 Yehova mwenyewe ametukumbuka; atatoa baraka,+Ataibariki nyumba ya Israeli,+Ataibariki nyumba ya Haruni.+