13 Naye hakika atakupenda na kukubariki+ na kukuzidisha+ na kubariki uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ nafaka yako na divai yako mpya na mafuta yako, watoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako,+ kwenye nchi aliyowaapia mababu zako ya kwamba atakupa wewe.+
10 Leteni ghalani sehemu zote za kumi,+ ili kuwe na chakula nyumbani mwangu;+ nanyi, tafadhali, mnijaribu kwa njia hii,”+ Yehova wa majeshi amesema, “kama sitawafungulia ninyi malango ya mbinguni+ na kuwamwagia baraka hata kusiwe na uhitaji tena.”+