Zaburi 136:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ambaye alitukumbuka tulipokuwa katika hali ya chini:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+ Methali 10:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baraka ya Yehova—hiyo ndiyo hutajirisha,+ naye haongezi maumivu pamoja nayo.+ Matendo 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+
23 Ambaye alitukumbuka tulipokuwa katika hali ya chini:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
4 Mtu huyo akamtazama na, akiogopa, akasema: “Ni nini, Bwana?” Akamwambia: “Sala+ na zawadi zako za rehema zimepanda kama ukumbusho mbele za Mungu.+