Zaburi 119:166 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 166 Nimeutumainia wokovu wako, Ee Yehova,+Nami nimezitenda amri zako.+ Isaya 40:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Wafarijini, wafarijini watu wangu,” asema Mungu wenu.+ Isaya 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Toeni kilio cha furaha, ninyi mbingu,+ na uwe na shangwe, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio kikuu cha furaha.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+ naye anawaonyesha huruma watu wake walioteseka.+
13 Toeni kilio cha furaha, ninyi mbingu,+ na uwe na shangwe, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio kikuu cha furaha.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+ naye anawaonyesha huruma watu wake walioteseka.+