Hosea 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “ ‘Kwa sababu hiyo ninamshawishi mwanamke huyu, nami nitamfanya aende nyikani,+ na nitasema kwa kufikia moyo wake.+ Mika 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ee binti Sayuni, uwe na maumivu makali na utaabike, kama mwanamke anayezaa,+ maana sasa utaenda kutoka katika mji, nawe utakaa katika shamba.+ Nawe utaenda mpaka Babiloni.+ Huko utakombolewa.+ Huko Yehova atakununua kutoka mkononi mwa adui zako.+
14 “ ‘Kwa sababu hiyo ninamshawishi mwanamke huyu, nami nitamfanya aende nyikani,+ na nitasema kwa kufikia moyo wake.+
10 Ee binti Sayuni, uwe na maumivu makali na utaabike, kama mwanamke anayezaa,+ maana sasa utaenda kutoka katika mji, nawe utakaa katika shamba.+ Nawe utaenda mpaka Babiloni.+ Huko utakombolewa.+ Huko Yehova atakununua kutoka mkononi mwa adui zako.+