Zaburi 106:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na kwa hiyo akawaokoa kutoka katika mkono wa mchukiaji+Na kuwakomboa kutoka katika mkono wa adui.+ Zaburi 107:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wote waliookolewa wa Yehova na waseme hivyo,+Ambao amewaokoa kutoka katika mkono wa adui,+ Isaya 48:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tokeni katika Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo.+ Tangazeni kwa sauti ya vigelegele vya shangwe, fanyeni hili lisikiwe.+ Lifanyeni liende mpaka mwisho wa dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+ Yeremia 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa watu wabaya,+ nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa wenye kuonea.”
10 Na kwa hiyo akawaokoa kutoka katika mkono wa mchukiaji+Na kuwakomboa kutoka katika mkono wa adui.+
20 Tokeni katika Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo.+ Tangazeni kwa sauti ya vigelegele vya shangwe, fanyeni hili lisikiwe.+ Lifanyeni liende mpaka mwisho wa dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+
21 “Nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa watu wabaya,+ nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa wenye kuonea.”