Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 106:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na kwa hiyo akawaokoa kutoka katika mkono wa mchukiaji+

      Na kuwakomboa kutoka katika mkono wa adui.+

  • Zaburi 107:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wote waliookolewa wa Yehova na waseme hivyo,+

      Ambao amewaokoa kutoka katika mkono wa adui,+

  • Isaya 48:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Tokeni katika Babiloni!+ Kimbieni kutoka kwa Wakaldayo.+ Tangazeni kwa sauti ya vigelegele vya shangwe, fanyeni hili lisikiwe.+ Lifanyeni liende mpaka mwisho wa dunia.+ Semeni: “Yehova amemkomboa mtumishi wake Yakobo.+

  • Yeremia 15:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa watu wabaya,+ nami nitakukomboa kutoka katika mkono wa wenye kuonea.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki