Isaya 41:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Tazama! Wale wote wanaowaka hasira juu yako wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watu wanaogombana nawe watakuwa si kitu na kuangamia.+ Isaya 49:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+ Mika 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.
11 “Tazama! Wale wote wanaowaka hasira juu yako wataona aibu na kufedheheshwa.+ Watu wanaogombana nawe watakuwa si kitu na kuangamia.+
26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+
4 Kwa maana niliwaleta ninyi kutoka nchi ya Misri,+ nami niliwakomboa kutoka nyumba ya watumwa;+ nami nikawatuma Musa, Haruni na Miriamu+ mbele yenu.