Kutoka 12:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Na ikawa siku hiyo hiyo kwamba Yehova akawatoa wana wa Israeli pamoja na majeshi+ yao kutoka katika nchi ya Misri. Kumbukumbu la Torati 4:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii. Matendo 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+
51 Na ikawa siku hiyo hiyo kwamba Yehova akawatoa wana wa Israeli pamoja na majeshi+ yao kutoka katika nchi ya Misri.
20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova alichukua apate kuwatoa nje ya tanuru ya chuma,+ toka nje ya Misri, ili muwe watu wa mali ya kibinafsi kwake+ kama ilivyo leo hii.
36 Mtu huyo aliwaongoza watoke+ baada ya kufanya mambo ya ajabu na ishara katika Misri+ na katika Bahari Nyekundu+ na katika nyika kwa miaka 40.+