-
1 Wakorintho 9:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Au, je, kweli anasema hivyo kwa ajili yetu? Kwa hakika hilo liliandikwa kwa ajili yetu, kwa sababu mtu anayelima na mtu anayepura anapaswa kufanya hivyo akiwa na tumaini la kupata fungu.
-
-
1 Wakorintho 9:10Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 Au yeye asema hilo kwa ajili yetu tu? Kwa kweli ni kwa ajili yetu hilo liliandikwa, kwa sababu mtu alimaye kwa plau apaswa kulima kwa plau akiwa na tumaini na mtu apuraye apaswa kufanya hivyo akiwa na tumaini la kuwa mshiriki.
-