Nehemia 13:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ndipo nikawakemea na kuwalaani, nikawapiga baadhi ya wanaume hao,+ nikazing’oa nywele zao na kuwaapisha hivi kwa Mungu: “Msikubali mabinti wenu waolewe na wana wao, na msikubali mabinti wao waolewe na wana wenu au ninyi wenyewe.+
25 Ndipo nikawakemea na kuwalaani, nikawapiga baadhi ya wanaume hao,+ nikazing’oa nywele zao na kuwaapisha hivi kwa Mungu: “Msikubali mabinti wenu waolewe na wana wao, na msikubali mabinti wao waolewe na wana wenu au ninyi wenyewe.+