Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Pengine Yehova Mungu wako atayasikia+ maneno yote ya Rabshake, ambaye mfalme wa Ashuru bwana wake alimtuma ili kumdhihaki+ Mungu aliye hai, naye kwa kweli atamtoza hesabu kwa ajili ya maneno ambayo Yehova, Mungu wako, ameyasikia.+ Nawe uinue sala+ kwa ajili ya mabaki+ ambao wanapatikana.’”

  • 2 Mambo ya Nyakati 32:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na hata akaandika barua+ za kumshutumu Yehova Mungu wa Israeli+ na kuongea vibaya juu yake, akisema: “Kama miungu+ ya mataifa ya nchi, ambayo haikuwakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu,+ vivyo hivyo Mungu wa Hezekia hatawakomboa watu wake kutoka mkononi mwangu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki