45 Naye Daudi akamwambia yule Mfilisti: “Unakuja kwangu ukiwa na upanga na mkuki na fumo,+ lakini mimi naja kwako nikiwa na jina la Yehova wa majeshi,+ Mungu wa vikosi vya Israeli, ambaye umemtukana.+
35 Ni miungu gani kati ya miungu yote ya nchi ambayo imeikomboa nchi yao kutoka mkononi mwangu,+ hivi kwamba Yehova akomboe Yerusalemu kutoka mkononi mwangu?”’”+