Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Hata miberoshi+ imekushangilia pia, mierezi ya Lebanoni, ikisema, ‘Tangu ulale, hakuna mkataji yeyote wa miti+ anayekuja juu yetu.’

  • Isaya 37:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Umemdhihaki Yehova kupitia watumishi wako, nawe unasema,+

      ‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita, mimi mwenyewe+—

      Mimi hakika nitapanda vilele vya maeneo yenye milima,+

      Sehemu za mbali zaidi za Lebanoni;+

      Nami nitaikata mierezi yake iliyotukuka, miberoshi yake iliyo bora.+

      Nami nitaingia katika kilele chake cha mwisho, msitu wa shamba lake la matunda.+

  • Isaya 60:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Utukufu wa Lebanoni utakuja kwako wewe, mberoshi, mtidhari na mvinje wakati uleule,+ ili kuparembesha patakatifu pangu;+ nami nitapatukuza mahali pangu pa miguu.+

  • Ezekieli 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mierezi mingine haikulingana nao katika bustani ya Mungu.+ Nayo miberoshi, haikufanana nao kwa habari ya matawi yake. Na miaramoni yenyewe haikuwa kama huo katika matawi yake. Hakuna mti mwingine wowote katika bustani ya Mungu uliofanana nao katika uzuri wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki