Ayubu 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Milipuko mikali ya hasira yako na imwagike,+Na uone kila mtu mwenye majivuno na umshushe chini. Zaburi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+ Zaburi 68:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Magari ya Mungu ya vita ni makumi ya maelfu, maelfu zaidi na zaidi.+Yehova mwenyewe amekuja kutoka Sinai na kuingia mahali patakatifu.+
7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+
17 Magari ya Mungu ya vita ni makumi ya maelfu, maelfu zaidi na zaidi.+Yehova mwenyewe amekuja kutoka Sinai na kuingia mahali patakatifu.+