Zaburi 92:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wakati waovu wanapochipuka kama majani+Na wote wanaotenda mambo yenye kuumiza wanapochanuka,Ni ili wao wapate kuangamizwa milele.+ Isaya 40:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+ Yakobo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana jua huchomoza pamoja na joto lake lenye kuunguza na kuyanyausha majani, na ua lake huanguka na uzuri wa sura yake ya nje huharibika. Vivyo hivyo, pia, mtu tajiri atanyauka katika njia zake za maisha.+
7 Wakati waovu wanapochipuka kama majani+Na wote wanaotenda mambo yenye kuumiza wanapochanuka,Ni ili wao wapate kuangamizwa milele.+
7 Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka,+ kwa sababu roho ya Yehova imepuliza juu yake.+ Hakika watu ni majani mabichi.+
11 Kwa maana jua huchomoza pamoja na joto lake lenye kuunguza na kuyanyausha majani, na ua lake huanguka na uzuri wa sura yake ya nje huharibika. Vivyo hivyo, pia, mtu tajiri atanyauka katika njia zake za maisha.+