Mambo ya Walawi 26:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Nami nitaifanya nchi iwe ukiwa,+ nao adui zenu wanaokaa ndani yake wataitazama kwa mshangao.+ Isaya 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu! Isaya 37:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Je, hujasikia?+ Tangu nyakati za zamani za kale ndilo nitakalofanya.+Tangu siku zilizopita nimelifanya.+ Sasa nitalitimiza.+Nawe utafanya majiji yenye ngome yawe ukiwa kama marundo ya mabomoko.+
5 “Aha, Mwashuru,+ fimbo ya hasira yangu,+ na kijiti kilicho mkononi mwao kwa ajili ya shutuma yangu!
26 Je, hujasikia?+ Tangu nyakati za zamani za kale ndilo nitakalofanya.+Tangu siku zilizopita nimelifanya.+ Sasa nitalitimiza.+Nawe utafanya majiji yenye ngome yawe ukiwa kama marundo ya mabomoko.+