14 Kwa maana wakati huu ninatuma mapigo yangu yote juu ya moyo wako na juu ya watumishi wako na watu wako, ili upate kujua kwamba hakuna yeyote aliye kama mimi katika dunia yote.+
9 Ndipo wakamwambia: “Watumishi wako wametoka nchi ya mbali sana+ kwa sababu ya jina+ la Yehova Mungu wako, kwa kuwa tumesikia sifa zake na mambo yote ambayo alitenda katika Misri,+