2 Wafalme 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Je, hujasikia?+ Tangu nyakati za zamani za kale ndilo nitakalofanya.+Tangu siku zilizopita nimelifanya.+Sasa nitalitimiza.+Nawe utafanya majiji yenye ngome yawe ukiwa kama marundo ya mabomoko.+ Zaburi 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+ Isaya 46:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye anayemwita ndege mwenye kuwinda kutoka mashariki,+ kutoka nchi ya mbali mtu atakayetekeleza shauri langu.+ Mimi nimesema hilo; pia nitalitimiza.+ Nimelifanyiza, pia nitalitenda.+
25 Je, hujasikia?+ Tangu nyakati za zamani za kale ndilo nitakalofanya.+Tangu siku zilizopita nimelifanya.+Sasa nitalitimiza.+Nawe utafanya majiji yenye ngome yawe ukiwa kama marundo ya mabomoko.+
11 Shauri la Yehova litasimama milele;+Mawazo ya moyo wake ni kwa kizazi kimoja baada ya kizazi kingine.+
11 Yeye anayemwita ndege mwenye kuwinda kutoka mashariki,+ kutoka nchi ya mbali mtu atakayetekeleza shauri langu.+ Mimi nimesema hilo; pia nitalitimiza.+ Nimelifanyiza, pia nitalitenda.+