Mambo ya Walawi 26:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa. 2 Wafalme 19:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Je, hujasikia?+ Tangu nyakati za zamani za kale ndilo nitakalofanya.+Tangu siku zilizopita nimelifanya.+Sasa nitalitimiza.+Nawe utafanya majiji yenye ngome yawe ukiwa kama marundo ya mabomoko.+ Isaya 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Katika siku hiyo majiji yake yenye ngome yatakuwa kama mahali palipoachwa kabisa katika mwitu, hata lile tawi ambalo wameliacha kabisa kwa sababu ya wana wa Israeli; napo lazima pawe mahame yenye ukiwa.+
33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.
25 Je, hujasikia?+ Tangu nyakati za zamani za kale ndilo nitakalofanya.+Tangu siku zilizopita nimelifanya.+Sasa nitalitimiza.+Nawe utafanya majiji yenye ngome yawe ukiwa kama marundo ya mabomoko.+
9 Katika siku hiyo majiji yake yenye ngome yatakuwa kama mahali palipoachwa kabisa katika mwitu, hata lile tawi ambalo wameliacha kabisa kwa sababu ya wana wa Israeli; napo lazima pawe mahame yenye ukiwa.+