Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+

  • Hosea 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na fujo imetokea kati ya watu wako,+ na majiji yako yenye ngome yataporwa yote,+ kama vile Shalmani alivyopora nyumba ya Arbeli, katika siku ya pigano ambapo mama mmoja alivunjwa vipande-vipande kando ya wanawe.+

  • Amosi 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kuna adui kuzunguka nchi,+ naye atazishusha nguvu zako zikutoke, na minara ya makao yako itaporwa.’+

  • Mika 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nami nitakatilia mbali majiji ya nchi yako na kubomoa mahali pako pote penye ngome.+

  • Mika 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na nchi itakuwa mahame yenye ukiwa kwa sababu ya wakaaji wake, kwa sababu ya matunda ya matendo yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki