11 Ndipo nikasema: “Ni mpaka wakati gani, Ee Yehova?”+ Kisha akasema: “Ni mpaka majiji yabomoke, yawe bila mkaaji, na nyumba ziwe bila mtu wa udongo, na nchi iharibiwe iwe ukiwa;+
14 Na fujo imetokea kati ya watu wako,+ na majiji yako yenye ngome yataporwa yote,+ kama vile Shalmani alivyopora nyumba ya Arbeli, katika siku ya pigano ambapo mama mmoja alivunjwa vipande-vipande kando ya wanawe.+
11 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kuna adui kuzunguka nchi,+ naye atazishusha nguvu zako zikutoke, na minara ya makao yako itaporwa.’+