6 Katika mwaka wa tisa wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka Samaria+ kisha akapeleka Israeli uhamishoni+ katika Ashuru, akaendelea kuwakalisha katika Hala+ na katika Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi.+
17 Yehova ataleta juu yenu+ na juu ya watu wenu na juu ya nyumba ya baba yako siku ambazo hazijaja tangu siku ile Efraimu alipoondoka kando ya Yuda,+ yaani, mfalme wa Ashuru.+