Zaburi 48:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakashikwa na kutetemeka wakiwa huko,+Uchungu wa kuzaa kama ule wa mwanamke anayezaa.+ Yeremia 51:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Wanaume wenye nguvu wa Babiloni wameacha kupigana. Wameendelea kuketi katika mahali imara. Nguvu zao zimekauka.+ Wamekuwa wanawake.+ Makao yake yamewashwa moto. Mapingo yake yamevunjwa.+
30 “Wanaume wenye nguvu wa Babiloni wameacha kupigana. Wameendelea kuketi katika mahali imara. Nguvu zao zimekauka.+ Wamekuwa wanawake.+ Makao yake yamewashwa moto. Mapingo yake yamevunjwa.+