Isaya 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndiyo sababu mikono yote itaanguka, na moyo wote wa mwanadamu anayeweza kufa utayeyuka.+ Yeremia 50:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kuna uharibifu juu ya maji yake, nayo lazima yatakaushwa.+ Kwa maana hiyo ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+ na kwa sababu ya maono yao yenye kutia hofu wanaendelea kutenda kiwazimu.
38 Kuna uharibifu juu ya maji yake, nayo lazima yatakaushwa.+ Kwa maana hiyo ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+ na kwa sababu ya maono yao yenye kutia hofu wanaendelea kutenda kiwazimu.