8 Na watu wamekuwa na wasiwasi.+ Utungu na uchungu wa kuzaa zimewashika; wana uchungu kama mwanamke anayezaa.+ Wanatazamana kwa mshangao. Nyuso zao ni nyuso zilizowaka.+
6 Na wakati huo, kwa habari ya mfalme, sura yake ikabadilika, mawazo yake yakaanza kumwogopesha,+ viungo vya viuno vyake vikalegea,+ magoti yake yakawa yanagongana.+