Zaburi 107:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana ameivunja milango ya shaba,+Naye ameyakata hata mapingo ya chuma.+ Isaya 45:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mimi nitaenda mbele yako,+ nami nitayanyoosha matuta ya nchi.+ Nitavunja vipande-vipande milango ya shaba, nami nitayakata na kuyaangusha mapingo ya chuma.+ Amosi 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nami nitavunja pingo la Damasko+ na kumkatilia mbali mkaaji kutoka Bikath-aveni, na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Beth-edeni; na watu wa Siria wataenda Kiri+ wakiwa wahamishwa,” Yehova amesema.’
2 “Mimi nitaenda mbele yako,+ nami nitayanyoosha matuta ya nchi.+ Nitavunja vipande-vipande milango ya shaba, nami nitayakata na kuyaangusha mapingo ya chuma.+
5 Nami nitavunja pingo la Damasko+ na kumkatilia mbali mkaaji kutoka Bikath-aveni, na anayeshika fimbo ya enzi kutoka Beth-edeni; na watu wa Siria wataenda Kiri+ wakiwa wahamishwa,” Yehova amesema.’