16 Katika siku hiyo Misri itakuwa kama wanawake, nayo hakika itatetemeka+ na kuingiwa na hofu kwa sababu ya kutikiswa kwa mkono wa Yehova wa majeshi ambao anautikisa juu yake.+
37 Kuna upanga juu ya farasi+ wao na juu ya magari yao ya vita na juu ya jamii yote iliyochangamana iliyo katikati yake,+ na hakika wao watakuwa wanawake.+ Kuna upanga juu ya hazina zake,+ nazo kwa kweli zitaporwa.