6 Ulizeni, tafadhali, na mwone ikiwa mwanamume anajifungua mtoto. Kwa nini nimemwona kila mwanamume akiweka mikono juu ya viuno vyake kama mwanamke anayejifungua mtoto,+ na nyuso zote zimegeuka rangi?+
13 Uchungu wa mwanamke anayezaa utamshika yeye.+ Yeye ni mwana asiye na hekima,+ kwa maana katika majira yake, hatasimama wakati wana watakapotoka katika tumbo la uzazi.+