6 Ulizeni, tafadhali, na mwone ikiwa mwanamume anajifungua mtoto. Kwa nini nimemwona kila mwanamume akiweka mikono juu ya viuno vyake kama mwanamke anayejifungua mtoto,+ na nyuso zote zimegeuka rangi?+
9 “Basi ni kwa nini unaendelea kupiga kelele?+ Je, hamna mfalme ndani yako, au je, mshauri wako mwenyewe ameangamizwa, hata maumivu kama yale ya mwanamke anayezaa yakakushika?+