8 Ninawi naye, tangu siku ambazo amekuwako,+ alikuwa kama kidimbwi cha maji;+ lakini wanakimbia. “Simameni tuli! Simameni tuli!” Lakini hakuna anayegeuka.+
13 “Naye atanyoosha mkono wake kuelekea kaskazini, naye ataangamiza Ashuru.+ Naye atafanya Ninawi kuwa mahame yenye ukiwa,+ eneo lisilo na maji kama nyika.