Mwanzo 18:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo Yehova akasema: “Kilio cha malalamiko juu ya Sodoma na Gomora+ ni kikubwa, na dhambi yao ni nzito sana.+ Yakobo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi. Ufunuo 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana dhambi zake zimekusanyika pamoja mpaka mbinguni,+ naye Mungu amekumbuka matendo yake yasiyo ya haki.+
20 Ndipo Yehova akasema: “Kilio cha malalamiko juu ya Sodoma na Gomora+ ni kikubwa, na dhambi yao ni nzito sana.+
4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.
5 Kwa maana dhambi zake zimekusanyika pamoja mpaka mbinguni,+ naye Mungu amekumbuka matendo yake yasiyo ya haki.+